Maputo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Maputo
Jiji la Maputo is located in Msumbiji
Jiji la Maputo
Jiji la Maputo

Mahali pa Jiji la Maputo katika Msumbiji

Majiranukta: 25°58′00″S 32°35′00″E / 25.96667°S 32.58333°E / -25.96667; 32.58333
Nchi Msumbiji
Mkoa Maputo Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,200,000
Maputo inavyoonekana kutoka bahari
Barabara kuu ya Lourenço-Marquès (leo: Maputo) mwaka 1905

Maputo ni mji mkuu wa Msumbiji. Hadi 1976 ilijulikana kwa jina la Kireno la Lourenço-Marquès. Serikali mpya ya Msumbiji huru chini ya rais Samora Machel iliipa jina jipya la Maputo.

Mji una wakazi 1,200,000 (pamoja na mitaa ya nje: 1,800,000). Uchumi wake unategemea sana bandari yake kwenye hori ya Maputo ya Bahari Hindi.

Mito miwili inaishia kwenye hori ni Tembe na Maputo.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Msumbiji bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maputo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.