Bangui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Bangui, Afrika ya kati


Jiji la Bangui
Nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mkoa Bangui Autonomous Commune
Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Bangui inavyoonekana kutoka angani

Bangui ina wakazi 531 763[1] ni mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mji uko mwambanoni wa mto Ubangi ng'ambo ya mto uko mji wa Zongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Kuna viwanda mjini vya nguo, vyakula, bira, viatu na sabuni. Bishara ya nje inalenga wateja wa pamba, ubao, kahawa na katani.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bangui kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: