Nenda kwa yaliyomo

Bangui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jiji la Bangui
Nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mkoa Bangui Autonomous Commune
Mji wa Bangui, Afrika ya kati
Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Bangui inavyoonekana kutoka angani

Bangui ni mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mji uko mwambaoni mwa mto Ubangi; ng'ambo ya mto uko mji wa Zongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Una wakazi 531,763[1]

Kuna viwanda vya nguo, vyakula, bira, viatu na sabuni. BiAshara ya nje inalenga wateja wa pamba, ubao, kahawa na katani.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bangui kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.