Guinea
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Travail, Justice, Solidarité (Kifaransa: Kazi, Haki, Kushikamana) | |||||
Wimbo wa taifa: Liberté (Uhuru) | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Conakry | ||||
Mji mkubwa nchini | Conakry | ||||
Lugha rasmi | Kifaransa (rasmi), Pulaar, Kissi, Kpelle, Kimaninka, Kisusu, Kitoma | ||||
Serikali | Jamhuri Mamady Doumbouya Mohamed Béavogui | ||||
Uhuru kutoka Ufaransa |
2 Oktoba 1958 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
245,836 km² (ya 78) kidogo sana | ||||
Idadi ya watu - 2021 kadirio - 2018 sensa - Msongamano wa watu |
13,885,724 (ya 83) 12,414,293 40.9/km² (ya 133) | ||||
Fedha | Guinean franc (GNF )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
GMT (UTC0) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .gn | ||||
Kodi ya simu | +224
- |
Guinea (pia: Gine, Gini) ni nchi katika Afrika ya Magharibi. Pengine inatajwa kama Guinea-Conakry ili kuitofautisha na nchi za Guinea-Bissau na Guinea ya Ikweta.
Imepakana na Guinea-Bisau, Senegal na Mali upande wa kaskazini, Côte d'Ivoire, Liberia na Sierra Leone kusini halafu Bahari Atlantiki upande wa magharibi.
Eneo lake ni chanzo ya mito mikubwa ya Niger, Senegal na Gambia.
Jina[hariri | hariri chanzo]
Jina la "Guinea" liliwahi kutaja sehemu kubwa ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa la Sahara na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki likimaanisha "nchi ya watu weusi" kwa lugha ya Kiberberi.
Watu[hariri | hariri chanzo]
Makabila yaliyopo nchini ni 24. Kubwa zaidi ni lile la Wafulani (40%).
Lugha rasmi ni Kifaransa, lakini wakazi wanatumia zaidi lugha asilia kadiri ya makabila, hasa Kipular, Kimaninka, Kisusu, Kikisi, Kikpelle na Kiloma,
Upande wa dini, 85% ni Waislamu (hasa Wasuni), 8% ni Wakristo (hasa Wakatoliki) na 7% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Orodha ya lugha za Guinea
- Orodha ya nchi kufuatana na wakazi
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa
- Demografia ya Afrika
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Serikali[hariri | hariri chanzo]
- (Kifaransa) Serikali ya Guinea Archived 6 Januari 2010 at the Wayback Machine.
- (Kifaransa) Permanent UN Mission of the Republic of Guinea Archived 17 Desemba 2007 at the Wayback Machine.
Habari[hariri | hariri chanzo]
- (Kiingereza) CIA World Factbook - Guinea Archived 15 Juni 2006 at the Wayback Machine.
- (Kiingereza) BBC News Country Profile - Guinea
Muziki[hariri | hariri chanzo]
- Cora Connection Archived 10 Oktoba 1999 at the Wayback Machine. West African music resources
Orodha[hariri | hariri chanzo]
- Open Directory Project - Guinea Archived 25 Desemba 2005 at the Wayback Machine. directory category
- Stanford University - Africa South of the Sahara: Guinea directory category
- The Index on Africa - Guinea Archived 24 Agosti 2004 at the Wayback Machine. directory category
- University of Pennsylvania - African Studies Center: Guinea directory category
- Yahoo! - Guinea Archived 12 Machi 2007 at the Wayback Machine. directory category
Nchi za Afrika | ![]() |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Guinea kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |