Kamerun
Jamhuri ya Kamerun République du Cameroun Republic of Cameroon | |||||
| |||||
Kaulimbiu ya Taifa Paix, Travail, Patrie (Kifaransa: Amani, Kazi, Taifa | | |||||
Wimbo wa Taifa | Chant de Ralliement wimbo wa faraja | | ||||
![]() | |||||
Lugha ya Taifa | Kifaransa, Kiingereza | ||||
Mji Mkuu | Yaoundé | ||||
Mji Mkubwa | Douala | ||||
Rais wa Kamerun Waziri mkuu wa Kamerun |
Paul Biya Philémon Yang | ||||
Eneo - Jumla -Maji -Eneo kadiriwa |
475,440 km² 1.3% Kadiriwa 52 duniani | ||||
Umma - Kadiriwa - Sensa, - Umma kugawa na Eneo (kilomita) |
16,380,005 Kadiriwa 59 duni sensa (2003) ; 34/km² (138 duni) | ||||
Pato la uchumi - Jumla - kwa kipimo cha umma |
$32.35 Bilioni ((91 ) kadir) $2,176 140 duni | ||||
Uhuru - Kadirifu - Barabara |
Kutoka Ufaransa, Uingereza 1 Januari 1960< | ||||
Fedha | CFA frank (XFA) | ||||
Saa za Eneo | UTC +1 | ||||
Intaneti TLD | .cm | ||||
kodi za simu | 237 |
Jamhuri ya Kamerun (pia: Cameroon) ni jamhuri ya muungano katika Afrika ya Magharibi.
Imepakana na Nigeria, Chadi, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kongo, Gabon, Guinea ya Ikweta na Ghuba ya Guinea.
Lugha rasmi na lugha za taifa ni Kifaransa (kinachoongoza kwa zaidi ya asilimia 80) na Kiingereza.
Yaliyomo
Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Mito[hariri | hariri chanzo]
Milima[hariri | hariri chanzo]
Maeneo kiutawala[hariri | hariri chanzo]
Kamerun imegawiwa katika mikoa 10 na wilaya (départements) 58.
Mikoa ni:
- Mkoa wa Adamawa,
- Mkoa wa kati,
- Mkoa wa mashariki,
- Mkoa wa kaskazini Zaidi,
- Mkoa wa Littoral,
- Mkoa wa Kaskazini,
- Mkoa wa Kaska-magharibi,
- Mkoa wa Magharibi,
- Mkoa wa Kusini, na
- Mkoa wa Kusini-magharibi.
Historia[hariri | hariri chanzo]
Historia ya awali[hariri | hariri chanzo]
Katika karne za BK Wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi walianza uenezi wao kutoka huko kwenda kutawala maeneo mengi ya Afrika ya Kati, Kusini mwa Afrika na Afrika Mashariki.
Wakati wa ukoloni[hariri | hariri chanzo]
Kamerun ilikuwa koloni la Ujerumani hadi Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Baada ya Ujerumani kushindwa vita, nchi ikagawiwa kati ya Uingereza na Ufaransa chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa kama eneo la kudhaminiwa.
Tangu uhuru hadi leo[hariri | hariri chanzo]
Mwaka wa 1960, Wafaransa waliacha Kamerun ikawa nchi huru, na kuungana na sehemu ya kusini ya Kamerun ya Kiingereza mwaka 1961 kuunda Shirikisho la Jamhuri ya Kamerun.
Baadaye jina likabadilishwa kuwa Jamhuri ya Muungano ya Kamerun mwaka wa 1972, halafu tena Jamhuri ya Kamerun (kwa Kifaransa République du Cameroun) mwaka wa 1984.
Siasa[hariri | hariri chanzo]

Uchumi[hariri | hariri chanzo]
Watu[hariri | hariri chanzo]
Wakazi walikuwa 22,534,532 mwaka 2013, ambao wamegawanyika sawasawa kati ya wanaoishi mijini na wale wa vijijini.
Lugha rasmi ni Kifaransa pamoja na Kiingereza. Hata hivyo wakazi wanaongea pia lugha za makabila yao mengi.
Upande wa dini, 70% ni Wakristo (40% Wakatoliki na 30% Waprotestanti), 18% ni Waislamu, 3% ni wafuasi wa dini asilia za Kiafrika. 6% hawana dini yoyote.
Utamaduni[hariri | hariri chanzo]



Elimu[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Ukristo nchini Kamerun
- Kanisa Katoliki nchini Kamerun
- Uislamu nchini Kamerun
- Mawasiliano nchini Kamerun
- Mambo ya kigeni ya Kamerun
- Orodha ya miji ya Kamerun
- Jeshi la Kamerun
- Usafirishaji nchini Kamerun
- Chama cha Wanaskauti Kamerun
- Orodha ya nchi kufuatana na wakazi
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na idadi ya watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na msongamano wa watu
- Orodha ya nchi za Afrika kulingana na pato la taifa
- Demografia ya Afrika
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Serikali
- Urais wa Nchi ya Kamerun Tovuti rasmi ya serikali
- Bunge ya Kamerun Tovuti rasmi
Habari
- allAfrica - Cameroon viungo via habari
- CRTV - Cameroon Radio Television ya serikali
- The Post – Gazeti lenye sifa linalochapwa huko Buea
- (Kifaransa) Le Messager Gazeti la binafsi
- (Kifaransa) (Kiingereza)Radio Siantou
Elimu
Uchambuzi
- (Kiingereza)BBC News - Country Profile: Cameroon
- (Kiingereza) (Kitabu cha wadadisi wam marekani) - Cameroon
Makabila na koo
- Baka Pygmies of Cameroon Utamaduni na miziki ya watu wa Kamerun
- Anthropological researches in Cameroon Fieldwork among Cameroonian populations
- Bamileke, watu wa Kamerun
- Bakweri, watu wa Kamerun ya Kiingereza.
Miongozo
- CMCLICK Online! Cameroon Portal - Cameroon Cameroon Internet Community. Cameroon Business Directory. Cameroon Information. Cameroon Culture.
- Open Directory Project - Cameroon directory category
- Stanford University - Africa South of the Sahara: Cameroon Maelezo kuhusu Afrika, kusini kwa Sahara.
- University of Pennsylvania - African Studies Center: Cameroon directory category
- Yahoo! - Cameroon uelekezo, kamerun
Utalii
- Cameroon tourism Picha kuhusu utalii kamerun
- Cameroon In Colour Picha za Kamerun
Nchi za Afrika | ![]() |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia |
|
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kamerun kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |