Moroni (Komori)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Moroni,Comoros


Jiji la Moroni
Jiji la Moroni is located in Komori
Jiji la Moroni
Jiji la Moroni

Mahali pa mji wa Moroni katika Komori

Majiranukta: 11°41′35″S 43°15′15″E / 11.69306°S 43.25417°E / -11.69306; 43.25417
Nchi Komori
Mahali pa Moroni kisiwani Ngazija

Moroni (kwa Mwandiko wa Kiarabu: موروني) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Komori wenye wakazi 60,200.

Mji uko upande wa magharibi wa kisiwa cha Ngazija (Grande Comore). Kuna bandari kwa usafiri kwa meli kwenda visiwa vingine vya Bahari Hindi pia bara la Afrika ya Mashariki pamoja na uwanja wa kimataifa wa ndege.

Anwani ya kijiografia ni 11°45′S 43°12′E.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Moroni ilikuwa mji mkuu wa Usultani wa Bambao uliokuwa dola lenye kipaumbele kisiwani hadi kuja kwa ukoloni wa Ufaransa.

Tazamia pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Moroni (Komori) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.