Nenda kwa yaliyomo

Usultani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sultan Qabus Bin Said Al Said

Usultani ni nchi au eneo chini ya mamlaka ya Sultani. Katika mazingira ya Kiislamu jina limelingana mara nyingi na "Ufalme" ingawa limetumiwa pia na watawala wa ngazi za chini.


Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Usultani Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.