Orodha ya masoko ya hisa barani Afrika

Hii ni Orodha ya masoko ya ubadilishanaji hisa barani Afrika.
Wanachama wa Shirika la Masoko ya Hisa ya Afrika (ASEA) wameonyeshwa kwa alama ya asteriski *.
Afrika ina angalau Soko moja la hisa la kanda, lile la Bourse Régionale des Valeurs Mobilières, au BRVM, lililoko mjini Abidjan, Ivory Coast. BRVM inatumiwa nchi za Benin, Burkina Faso, Guinea-Bissau, Ivory Coast, Mali, Niger, Senegal na Togo.
Soko la hisa la zamani zaidi katika bara ni Soko la Hisa la Casablanca la Moroko lililoanzishwa mwaka wa 1929, na pia ndilo la pili kwa ukubwa Afrika baada ya Soko la Hisa la Johannesburg.
Orodha[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-07-14. Iliwekwa mnamo 2010-01-04.