Nenda kwa yaliyomo

Afrika ya Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Afrika Magharibi)
Afrika ya Maghribi (Kanda ya UM); Maghrib

Afrika ya Magharibi ni ukanda wa magharibi kwenye bara la Afrika.

Kwa kawaida huhesabiwa humo nchi zilizo kati ya jangwa la Sahara na Bahari ya Atlantiki. Upande wa mashariki ukanda huu unaishia kwenye mstari kati ya mlima Kamerun na ziwa Chad.

Katika lugha ya Kiarabu nchi za Afrika ya kaskazini-magharibi zinaitwa "Maghrib" yaani "Magharibi" lakini ni sehemu ya ukanda wa Afrika ya Kaskazini.

Ukanda wa Afrika ya Kakazini ya UM una nchi 16 zifuatazo pamoja na visiwa vya Kiingereza vya Saint Helena:

Nchi za Afrika Magharibi
Bendera Nchi Mji Mkuu Lugha Rasmi Ukubwa wa Eneo (km²) Jiji Kubwa Zaidi Idadi ya Watu (makadirio)
Benin Porto-Novo Kifaransa 114,763 Cotonou 13.7 milioni
Burkina Faso Ouagadougou Kifaransa 272,967 Ouagadougou 22.1 milioni
Cape Verde Praia Kireno 4,033 Praia 0.6 milioni
Côte d'Ivoire Yamoussoukro Kifaransa 322,463 Abidjan 29.4 milioni
Gambia Banjul Kiingereza 10,689 Serekunda 2.8 milioni
Ghana Accra Kiingereza 238,535 Accra 34.1 milioni
Guinea Conakry Kifaransa 245,857 Conakry 14.2 milioni
Guinea-Bissau Bissau Kireno 36,125 Bissau 2.1 milioni
Liberia Monrovia Kiingereza 111,369 Monrovia 5.5 milioni
Mali Bamako Kifaransa 1,240,192 Bamako 23.3 milioni
Mauritania Nouakchott Kiarabu 1,030,700 Nouakchott 4.9 milioni
Niger Niamey Kifaransa 1,267,000 Niamey 27.2 milioni
Nigeria Abuja Kiingereza 923,769 Lagos 230 milioni
Senegal Dakar Kifaransa 196,722 Dakar 18.3 milioni
Sierra Leone Freetown Kiingereza 71,740 Freetown 8.9 milioni
Togo Lomé Kifaransa 56,785 Lomé 8.8 milioni