Nenda kwa yaliyomo

Niamey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Niamey
jiji, big city, administrative territorial entity of Niger, Mgawanyiko wa kiutawala wa ngazi ya kwanza
Taarifa za jumla
Jina rasmiNiamey Hariri
Native labelƝamay, Yamai, ⵏⵉⴰⵎⵢ Hariri
DemonymNiaméen, Niaméenne, Niaméyen, Niaméyenne Hariri
NchiNiger Hariri
Mji mkuu waNiger, Colony of Niger Hariri
Located in or next to body of waterNiger Hariri
Mkuu wa serikaliOumarou Dogari Moumouni Hariri
Contains the administrative territorial entityNiamey I, Niamey II, Niamey III, Niamey IV, Niamey V Hariri
Twinned administrative bodyDakar, Tamale Hariri
Inashiriki mpaka naTillabéri Region Hariri
Msimbo wa posta8000 Hariri
Historia ya madatimeline of Niamey Hariri
Local dialing code20 Hariri
Category for maps or plansCategory:Maps of Niamey Hariri
Mahali
Iko ndani yaNiger
Map
Niamey wakati wa usiku

Niamey ni mji mkuu wa Niger. Uko mwambaoni mwa mto Niger. Ukiwa na wakazi 1,803,000 hivi (2018) Niamey ni mji mkubwa wa Niger na kitovu cha kiutawala, kiuchumi na kiutamaduni.

Kilimo katika mazingira ya mji kina karanga kama mazao ya sokoni; kuna viwanda vya matofali, saruji na nguo.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Niamey ilikuwa kijiji kikaanza kukua tangu Ufaransa ulipojenga huko kituo cha kijeshi miaka ya 1890 BK. Mwaka 1926 ikawa mji mkuu wa koloni la Niger.

Mwaka 1930 ulikuwa na wakazi 3,000, wakati wa uhuru mwaka 1960 na wakazi 30,000 na mnamo 1980 na wakazi 250,000.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Niamey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.