Niamey
Mandhari
Niamey
| Taarifa za jumla | |
|---|---|
| Jina rasmi | Niamey |
| Native label | Ɲamay, Yamai, ⵏⵉⴰⵎⵢ |
| Demonym | Niaméen, Niaméenne, Niaméyen, Niaméyenne |
| Nchi | Niger |
| Mji mkuu wa | Niger, Colony of Niger |
| Located in or next to body of water | Niger |
| Mkuu wa serikali | Oumarou Dogari Moumouni |
| Contains the administrative territorial entity | Niamey I, Niamey II, Niamey III, Niamey IV, Niamey V |
| Twinned administrative body | Dakar, Tamale |
| Inashiriki mpaka na | Tillabéri Region |
| Msimbo wa posta | 8000 |
| Historia ya mada | timeline of Niamey |
| Local dialing code | 20 |
| Category for maps or plans | Category:Maps of Niamey |
| Mahali | |
| Iko ndani ya | Niger |


Niamey ni mji mkuu wa Niger. Uko mwambaoni mwa mto Niger. Ukiwa na wakazi 1,803,000 hivi (2018) Niamey ni mji mkubwa wa Niger na kitovu cha kiutawala, kiuchumi na kiutamaduni.
Kilimo katika mazingira ya mji kina karanga kama mazao ya sokoni; kuna viwanda vya matofali, saruji na nguo.
Historia
[hariri | hariri chanzo]Niamey ilikuwa kijiji kikaanza kukua tangu Ufaransa ulipojenga huko kituo cha kijeshi miaka ya 1890 BK. Mwaka 1926 ikawa mji mkuu wa koloni la Niger.
Mwaka 1930 ulikuwa na wakazi 3,000, wakati wa uhuru mwaka 1960 na wakazi 30,000 na mnamo 1980 na wakazi 250,000.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Niamey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |