Mamoudzou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Mamoudzou
Nchi Mayotte
Bahari mbele ya Mamoudzou pamoja na jahazi za mapunziko wakati wa jioni

Mamoudzou ni mji mkuu wa eneo la ng’ambo la Ufaransa la kisiwa cha Mayotte. Iko kwenye kisiwa kikuu cha Mahore. Kuna takriban wakazi 45,000.

Utawala[hariri | hariri chanzo]

Mji una vijiji sita pamoja na kitovu cha mji mwenyewe, ndivyo Kawéni (hapa kuna viwanda), Mtsapéré, Passamainti, Vahibé, Tsoundzou I na Tsoundzou II.

Eneo lake hutawaliwa katika wilaya tatu za Mamoudzou I, Mamoudzou II na Mamoudzou III.

Wakazi[hariri | hariri chanzo]

Mabadiliko ya idadi ya wakazi
1991 1997 2002
20 307 32 733 45 485
Namba kamili zimepatikana tangu 1991








Wakazi katika vijiji
Village 1997 2002
Kavani 3 948 5 488
Kaweni 6 206 9 604
Mamoudzou 5 666 6 533
Mtsapéré 6 979 10 495
Passamainty 5 173 6 008
Tsountsou 1 2 093 3 058
Tsountsou 2 574 1 063
Vahibé 2 135 3 236
















Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]