ISO 3166-1

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

ISO 3166-1 ni utaratibu wa vifupisho sanifu kwa ajili ya nchi na maeneo ulitolewa na Shirika la Kimataifa la Usanifishaji (International Organization for Standardization ISO). Huitwa pia "misimbo ya nchi" (country codes).

Hii ni orodha ya nchi ISO 3166-1:

Orodha[hariri | hariri chanzo]