Bahamas
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|
|||||
| Wito la taifa: Forward Upward Onward Together | |||||
| Wimbo wa taifa: March On, Bahamaland Wimbo wa Kifalme: God Save the Queen |
|||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Nassau |
||||
| Mji mkubwa nchini | Nassau | ||||
| Lugha rasmi | Kiingerza | ||||
| Serikali | Commonwealth Elizabeth II wa Uingereza Arthur Dion Hanna Perry Christie |
||||
| Independence kutoka Uingereza |
10 Julai 1973 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
13,878 km² (ya 160) 28% |
||||
| Idadi ya watu - 2005 kadirio - 1990 sensa - Msongamano wa watu |
323,0001 (ya 177) 254,685 23.27/km² (ya 181) |
||||
| Fedha | Bahamas dollar (BSD) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EST (UTC−5) EDT (UTC−4) |
||||
| Intaneti TLD | .bs | ||||
| Kodi ya simu | +1-242
- |
||||
Bahamas ni nchi ya visiwani katika Atlantiki kaskazini ya Kuba na mashariki ya Florida (Marekani). Visiwa viko nje ya Bahari ya Karibi lakini mara nyingi huhesabiwa kati ya Visiwa vya Karibi.
Mji mkuu wa Nassau uko kwenye kisiwa cha New Providence.
Inaaminiwa ya kwamba mahali pa kwanza pa Amerika alipofika Kristoforo Kolumbus kilikuwa kisiwa kimoja cha Bahamas labda San Salvador.
Wakazi walio wengi ni wa asili ya Kiafrika wanaotumia lugha ya Kiingereza.
Viungo vya Nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bahamas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
