Visiwa vya Turks na Caicos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Turks na Caicos)
Turks and Caicos Islands
Visiwa vya Turks na Caicos
Bendera ya Visiwa vya Turks na Caicos Nembo ya Visiwa vya Turks na Caicos
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: One people, one nation, one destiny
Wimbo wa taifa: "God Save the Queen"
Lokeshen ya Visiwa vya Turks na Caicos
Mji mkuu Cockburn Town
{{{latd}}}°{{{latm}}}′ {{{latNS}}} {{{longd}}}°{{{longm}}}′ {{{longEW}}}
Mji mkubwa nchini
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Eneo la ng'ambo la Uingereza
Elizabeth II wa Uingereza
Richard Tauwhare
Michael Misick
'
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
417 km² (ya 199)
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
32,000 (ya 156)
61/km² ()
Fedha U.S. dollar (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC-5 (UTC)
(UTC)
Intaneti TLD .tc
Kodi ya simu +1-649

-


Ramani ya Turks na Caicos
Ramani ya Turks na Caicos

Visiwa vya Turks na Caicos ni funguvisiwa la Karibi ambalo ni eneo la ng'ambo la Uingereza. Visiwa hivyo viko karibu na Bahamas.

Uvuvi ni msingi wa uchumi.

Visiwa vya Turks & Caicos[hariri | hariri chanzo]

Grand Turk[hariri | hariri chanzo]

Hiki ni kisiwa kikuu penye uwanja wa ndege na ofisi za serikali.

Providenciales[hariri | hariri chanzo]

Ni kisiwa cha utalii.

West Cay[hariri | hariri chanzo]

Kisiwa kidogo

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Visiwa vya Turks na Caicos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.