Wilaya za Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Wilaya za Tanzania

Yaliyomo

Tanzania
Coat of arms of Tanzania.svg

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Tanzania



Zanzibar
Flag of Zanzibar.svg

Nchi zingine · Atlasi

Mikoa ya Tanzania imegawanyika katika wilaya zipatazo 127. Wilaya hizo zimeorodheshwa hapo chini kimkoa:

Arusha [hariri]

Wilaya za Mkoa wa Arusha
v  d  e
Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Arusha
Wilaya ya Arumeru 514,651 2,896
Arusha mjini 281,608 93
Wilaya ya Karatu 177,951 3,300
Wilaya ya Monduli 110,442 6,419
Wilaya ya Ngorongoro 129,362 14,036
Jumla 1,288,088 34,526
2002 Wilaya ya Longido: 7,782 km²;
Idadi ya wakazi: 74,074
Marejeo: Mkoa wa Arusha

Dar es Salaam [hariri]

Dodoma [hariri]

Iringa [hariri]

Kagera [hariri]

Kigoma [hariri]

Kilimanjaro [hariri]

Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
v  d  e
Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
Wilaya ya Hai 259,958 3 10 55
Wilaya ya Moshi Vijijini 402,431 4 31 145
Wilaya ya Moshi Mjini 144,739 -
Wilaya ya Mwanga 115,620 6 16 60
Wilaya ya Rombo 246,479 5 20 60
Wilaya ya Same 212,325 6 25 83
Jumla 1,376,702 26 121 433
Mitaa 60
13,209
Wilaya ya Siha hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Hai.
Marejeo: Mkoa wa Kilimanjaro

Lindi [hariri]

Manyara [hariri]

Mara [hariri]

Mbeya [hariri]

Morogoro [hariri]

Wilaya za Mkoa wa Morogoro
v  d  e
Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Morogoro
Wilaya ya Kilombero 321,611 5 19 81 14,918
Wilaya ya Kilosa 489,513 9 37 164 14,245
Wilaya ya Morogoro Vijijini 263,920 6 25 132 11,925
Wilaya ya Morogoro Mjini 227,921 1 19 - 531
Wilaya ya Mvomero 260,525 4 17 101 7,325
Wilaya ya Ulanga 193,280 5 24 65 24,560
Jumla 1,759,809 30 141 543 73,039
Makisio ya idadi ya watu kwa mwaka 2008 ni watu 2,021,714
kutokana na kiwango cha ongezeko la watu la asilimia 2.6 kwa mwaka.
Marejeo: Mkoa wa Morogoro

Mtwara [hariri]

Mwanza [hariri]

Wilaya za Mkoa wa Mwanza
v  d  e
Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Mwanza
Wilaya ya Geita 712,195
Wilaya ya Ilemela 265,911
Wilaya ya Kwimba 316,180
Wilaya ya Magu 416,113
Wilaya ya Misungwi 257,155
Wilaya ya Nyamagana 210,735
Wilaya ya Sengerema 501,915
Wilaya ya Ukerewe 261,944
Jumla 2,942,148 19,592
Mkoa wa Mwanza una Halmashauri za Wilaya tatu sita ambazo ni Geita, Sengerema, Magu, Misungwi,
Kwimba na Ukerewe na Halmashauri ya Jiji la Mwanza inayohudumia wilaya za Nyamagana na Ilemela.
Marejeo: Mkoa wa Mwanza

Pemba Kaskazini [hariri]

Pemba Kusini [hariri]

Pwani [hariri]

Rukwa [hariri]

Ruvuma [hariri]

Shinyanga [hariri]

Singida [hariri]

Tabora [hariri]

Tanga [hariri]

Wilaya za Mkoa wa Tanga
v  d  e
Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2002) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Tanga
Wilaya ya Handeni 393,931 13 23 102 13,209
Wilaya ya Korogwe 261,004 4 20 132 3,756
Wilaya ya Lushoto 419,970 8 32 137 3,500
Wilaya ya Muheza 279,423 6 27 140 4,922
Wilaya ya Pangani 44,107 4 13 23 1,425
Tanga mjini 243,580 4 21 23 536
Jumla 1,642,015 37 136 557 27,348
Wilaya ya Handeni imegawanywa kuwa wilaya mbili za Handeni na Kilindi;
Muheza iligawiwa kuwa wilaya mbili za Muheza na Mkinga
Marejeo: Mkoa wa Tanga

Zanzibar Kati/Kusini [hariri]

Zanzibar Mjini Kaskazini [hariri]

Zanzibar Mjini Magharibi [hariri]

Tazama pia [hariri]

Viungo vya nje [hariri]