Wilaya ya Serengeti
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Serengeti (kijani) katika mkoa wa Mara.
Wilaya ya Serengeti ni wilaya moja ya Mkoa wa Mara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 176,609 [1].
Sehemu kubwa ya wilaya ni eneo la hifadhi ya Serengeti iliyo mashuhuri kote duniani.
Makao makuu ya wilaya yapo Mugumu mjini.
Marejeo [hariri]
| Kata za Wilaya ya Serengeti - Mkoa wa Mara - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Busawe | Ikoma | Issenye | Kebanchabancha | Kenyamonta | Kisaka | Kisangura | Kyambahi | Machochwe | Manchira | Mugumu mjini | Natta | Nyamatare (Serengeti) | Nyambureti | Nyamoko | Rigicha | Ring'wani | Rung'abure |
||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Serengeti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |