Wilaya ya Serengeti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Serengeti (kijani cheusi) katika mkoa wa Mara.

Wilaya ya Serengeti ni wilaya mojawapo kati ya 9 za Mkoa wa Mara yenye postikodi namba 31600.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 249,420 [1] na katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 340,349 [2].

Sehemu kubwa ya wilaya ni eneo la hifadhi ya Serengeti iliyo mashuhuri kote duniani.

Makao makuu ya wilaya yapo Mugumu mjini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Serengeti - Mkoa wa Mara - Tanzania

Busawe | Geitasamo | Ikoma | Issenye | Kebanchabancha | Kenyamonta | Kisaka | Kisangura | Kyambahi | Machochwe | Magange | Majimoto | Manchira | Matare | Mbalibali | Morotonga | Mosongo | Mugumu | Nagusi | Natta | Nyamatare | Nyambureti | Nyamoko | Nyansurura | Rigicha | Ring'wani | Rung'abure | Sedeco | Stendi Kuu | Uwanja wa Ndege


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Serengeti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno.