Singida (mji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Singida Mjini)


Singida
Skyline ya Singida
Skyline ya Singida
Singida is located in Tanzania
Singida
Singida

Mahali pa mji wa Singida katika Tanzania

Majiranukta: 4°49′12″S 34°44′24″E / 4.82000°S 34.74000°E / -4.82000; 34.74000
Nchi Tanzania
Mkoa Singida
Wilaya Singida Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 232,459

Singida ni manisipaa nchini Tanzania ambayo ni makao makuu ya Mkoa wa Singida na ina msimbo wa posta 43100.

Eneo lake ni wilaya ya Singida Mjini.

Katika sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 150,379 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 232,459 [2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Singida Mjini - Mkoa wa Singida - Tanzania

Ipembe | Kindai | Kisaki | Majengo | Mandewa | Minga | Misuna | Mitunduruni | Mtamaa | Mtipa | Mughanga | Mungumaji | Mwankoko | Uhamaka | Unyambwa | Unyamikumbi | Unyianga | Utemini


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Singida bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Singida (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.