Wilaya ya Lushoto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wilaya ya Lushoto ni kati ya wilaya saba ya Mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Mwaka 2002 ilikuwa na wakazi 419,970 [1].

Wilaya ya Lushoto ni sehemu ya milima ya Usambara. Inapakana na Wilaya ya Muheza na nchi ya Kenya upande wa kaskazini. Upande wa mashariki-kusini imepakana na Wilaya ya Korogwe. Upande wa magharibi imepakana na Wilaya ya Korogwe na Mkoa wa Kilimanjaro.

Wenyeji asilia ni Wasambaa na Wambugu.

[hariri] Utawala

Wilaya imegawanyika katika tarafa nane za Lushoto, Soni , Bukuli, Mgwashi, Mlola, Mlalo, Mtae na Umba.

Wilaya hii Lushoto huwa na kata 32 zifuatazo:

[hariri] Viungo vya Nje

Habari za jimbo la uchaguzi la Bumbuli katika wilaya ya Lushoto Vivutio vya utalii katika Lushoto

[hariri] Marejeo na Viungo vya Nje

Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Lushoto kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Lushoto - Tanzania Flag of Tanzania.svg

LushotoGareKwaiUbiriSoniVugaMpondeMambaMbuziiTamotaBumbuliFuntaMayoBagaMlinganoMagwashiMtaeSungaRangwiMnaziLunguzaMbaramoMng'aroMlaloMwangoiShumeMalindiHamtoyeMalibwiMlolaMakanyaNgwelo

Lugha nyingine