Wilaya ya Same
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Same (kijani) katika mkoa wa Kilimanjaro.
Wilaya ya Same ni wilaya moja ya Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 212,325 [1].
[hariri] Marejeo
| Kata za Wilaya ya Same - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Bendera (Same) | Bombo | Bwambo | Chome | Hedaru | Kihurio | Kirangare | Kisiwani (Same) | Makanya (Same) | Maore | Mhezi | Mpinji | Mshewa | Msindo (Same) | Mtii | Mwembe (Same) | Myamba | Ndungu | Njoro |Ruvu (Same) | Suji | Vudee | Vuje | Vunta | Same Mjini |
||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Same kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |