Wilaya ya Kilombero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mahali pa Kilombero katika mkoa wa Morogoro.

Wilaya ya Kilombero ni wilaya moja ya Mkoa wa Morogoro. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 322,779 [1]. Makao makuu ya wilaya hiyo ni mji wa Ifakara. Mji maarufu kwa utafiti wa ugonjwa wa malaria.

Marejeo [hariri]

Viungo ya Nje [hariri]

Jiografia ya bonde la Kilombero

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Kilombero - Mkoa wa Morogoro - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Chisano | Chita | Idete | Ifakara | Kibaoni | Kiberege | Kidatu | Kisawasawa | Lumelo | Mang'ula | Masagati | Mbingu | Mchombe | Mkula | Mlimba | Mofu | Sanje | Uchindile | Utengule (Kilombero)

Mwaya}(Michenga)(Mngeta)(Kamwene)


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Morogoro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilombero kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.