Mkoa wa Kilimanjaro
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mkoa wa Kilimanjaro |
|
| Nembo ya Tanzania | |
| Mahali pa Mkoa wa Kilimanjaro katika Tanzania | |
| Anwani ya kijiografia: 3°20′S 37°20′E / 3.333°S 37.333°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Wilaya | 7 |
| Mji mkuu | Moshi |
| Serikali | |
| - Mkuu wa Mkoa | Mizengo Pinda |
| Eneo | |
| - Mkoa | 13,209 km² |
| Idadi ya wakazi (2002) | |
| - Mji | 1,376,702 |
| Tovuti: http://www.kilimanjaro.go.tz/ | |
Mkoa wa Kilimanjaro ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Makao makuu ya mkoa huu ni Moshi. Mlima wa Kilimanjaro, mlima mkubwa kupita yote barani Afrika umo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro. Jina la mlima huu ndio limeupatia mkoa huu jina lake.
Mkoa wa Kilimanjaro umepakana na Kenya upande wa kaskazini, Mkoa wa Tanga upande wa Kusini na mikoa ya Manyara na Arusha upande wa magharibi.
Kilimajaro kuna wakazi wapatao 1,381,149 (sensa ya mwaka 2002). [1]. Makabila makubwa mkoani humo ni Wachagga na Wapare ambapo pia kuna makabila mengine madogo madogo kamaWamasai na wakamba
Wilaya [hariri]
Mkoa wa Kilimanjaro una wilaya 7 ambazo ni: Rombo, Hai, Siha, Moshi Vijijini, Moshi Mjini, Mwanga na Same.
|
Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
|
||||||
|---|---|---|---|---|---|---|
| Ramani | Wilaya au manisipaa | Wakazi (2002) | Tarafa | Kata | Kijiji | Eneo km² |
| Wilaya ya Hai | 259,958 | 3 | 10 | 55 | ||
| Wilaya ya Moshi Vijijini | 402,431 | 4 | 31 | 145 | ||
| Wilaya ya Moshi Mjini | 144,739 | - | ||||
| Wilaya ya Mwanga | 115,620 | 6 | 16 | 60 | ||
| Wilaya ya Rombo | 246,479 | 5 | 20 | 60 | ||
| Wilaya ya Same | 212,325 | 6 | 25 | 83 | ||
| Jumla | 1,376,702 | 26 | 121 | 433 Mitaa 60 |
13,209 | |
| Wilaya ya Siha hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Hai. | ||||||
| Marejeo: Mkoa wa Kilimanjaro | ||||||
Marejeo [hariri]
|
|
|
|---|---|
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kilimanjaro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Mkoa umepata wilaya mpya inaitwa SIHA