Wilaya ya Temeke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mahali pa Temeke (kijani) katika mkoa wa Dar es Salaam.

Wilaya ya Temeke ni wilaya ya Mkoa wa Dar es Salaam. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 771,500 [1].

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania Flag of Tanzania.svg

KigamboniVijibweniKibadaKisarawe IISamangiraKimbijiMbagalaChamaziYombo VitukaCharambeToangomaMiburaniTemekeMtoniKekoKurasiniAzimioTandikaSandaliChango'mbeMbagala KuuMakangarawePemba MnaziMji Mwema