Wilaya ya Mwanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama hapa
Mahali pa Mwanga (kijani) katika mkoa wa Kilimanjaro.

Wilaya ya Mwanga ni wilaya moja ya Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 115,620 [1].

Marejeo [hariri]

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Mwanga - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Chomvu | Jipe | Kifula | Kighare | Kilomeni | Kirongwe | Kirya | Kwakoa | Lang'ata | Lembeni | Msangeni | Mwanga (mji) | Mwaniko | Ngujini | Shigatini | Kileo


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Mwanga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.