Orodha ya Marais wa Tanzania
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Tanzania |
Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Makala hii inaonyesha orodha ya marais wa Tanzania.
Marais wa Tanzania, 1964-hadi sasa [hariri]
| Jina | Amechukua ofisi | Ameondoka ofisini | Chama | |
|---|---|---|---|---|
| Julius Nyerere (1922–1999) |
26 Aprili 1964 | 5 Februari 1977 | TANU | |
| 5 Februari 1977 | 5 Novemba 1985 | CCM | ||
| Ali Hassan Mwinyi (1925–) |
5 Novemba 1985 | 23 Novemba 1995 | CCM | |
| Benjamin Mkapa (1938–) |
23 Novemba 1995 | 21 Desemba 2005 | CCM | |
| Jakaya Kikwete (1950–) |
21 Desemba 2005 | wa sasa | CCM | |
Ushirika wa Kisiasa [hariri]
- CCM - Chama Cha Mapinduzi
- TANU - Tanganyika African National Union