Mkoa wa Simiyu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Mkoa wa Simiyu ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Makao makuu yako Bariadi.

Ulianzishwa rasmi Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Shinyanga upande wa mashariki.

Wilaya [hariri]

Mkoa huo mpya una wilaya zifuatazo: Bariadi, Busega, Maswa, Meatu, Itilima.

Wakazi [hariri]

Kabila kubwa ni lile la Wasukuma.

Viungo vya nje [hariri]


 
Mikoa ya Tanzania
Bandera Tanzania
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi