Mkoa wa Simiyu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Simiyu ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Makao makuu yako Bariadi.
Ulianzishwa rasmi Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Shinyanga upande wa mashariki.
Wilaya [hariri]
Mkoa huo mpya una wilaya zifuatazo: Bariadi, Busega, Maswa, Meatu, Itilima.
Wakazi [hariri]
Kabila kubwa ni lile la Wasukuma.
Viungo vya nje [hariri]
|
|
|
|---|---|
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |