Wilaya ya Bunda
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Bunda (kijani) katika mkoa wa Mara.
Wilaya ya Bunda ni wilaya moja ya Mkoa wa Mara. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 260,000 [1].
Makao makuu ya wilaya yapo mjini Bunda.
Marejeo [hariri]
| Kata za Wilaya ya Bunda - Mkoa wa Mara - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Bunda | Butimba | Guta | Hunyari | Igundu | Iramba | Kabasa | Kibara | Kisorya | Kunzugu | Mcharo | Mihingo | Mugeta | Namhula | Nansimo | Neruma | Nyamuswa | Salama | Sazira | Wariku |
||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Bunda kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |