Mkoa wa Mara
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mkoa wa Mara |
|
| Nembo ya Tanzania | |
| Mahali pa Mkoa wa Mara katika Tanzania | |
| Anwani ya kijiografia: 1°33′S 34°1′E / 1.55°S 34.017°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Wilaya | 7 |
| Mji mkuu | Musoma |
| Serikali | |
| - Mkuu wa Mkoa | Mh. Kanali Enos Mfuru |
| Eneo | |
| - Mkoa | 30,150 km² |
| - Maji | 7,500 km² |
| Idadi ya wakazi (2002) | |
| - Mji | 1,368,602 |
| Tovuti: http://www.mara.go.tz/ | |
Mkoa wa Mara ni kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Musoma ndipo makao makuu ya mkoa.
Mara imepakana na mikoa jirani yaMwanza na Shinyanga upande wa kusini, Arusha upande wa kusini-mashariki, Kagera kwa njia ya Ziwa Nyanza (au Viktoria) na Kenya upande wa mashariki.
Idadi ya wakazi ni 1,368,602 (2002). Makabila ni mengi kuliko mikoa yote ya Tanzania, kama vile Waluo, Wajita, Waruri, Wazanaki, Wakuria, Wakabwa, Wakiroba, Wasimbiti, Wangoreme, Wakwaya, Waikoma, Wanata, Waisenye, Waikizu, Wasizaki, Wasukuma and Wataturu.
Kuna wilaya za Bunda, Serengeti, Tarime, Rorya, Butiama, Musoma mjini na Musoma vijijini.
Sehemu kubwa ya Hifadhi ya Wanyama ya Serengeti iko ndani ya Mkoa wa Mara.
Viungo vya nje [hariri]
- (Kiingereza)Mara Region Homepage for the 2002 Tanzania National Census
- (Kiingereza)Tanzanian Government Directory Database
|
|
|
|---|---|
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mara bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Mara kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |