Mwanamke
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wanawake)
Mwanamke ni mwanadamu wa jinsia ya kike. Kwa kawaida anaitwa hivyo aliyefikia utu uzima au walau amebalehe. Kabla ya hapo huwa anaitwa mtoto wa kike.
[hariri] Tazama pia
| Makala hii kuhusu mtu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mwanamke kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |