Jozi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jozi ya viatu.
Jozi ya bata.

Jozi ni namna ya kutaja vitu viwili vilivyo pamoja na vinavyofanana. Ni namna nyingine ya kusema "mbili" lakini kwa kukazia tabia ya kuwa pamoja.

Neno linatokana na Kiarabu جوزاء jawza inayomaanisha pia "mapacha".

Mifano ya jozi za kawaida ni viatu, soksi, macho. Khanga zinauzwa mara nyingi kwa jozi.

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jozi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.