Wilaya ya Meatu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Meatu (kijani) katika mkoa wa Shinyanga.
Wilaya ya Meatu ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Simiyu. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 248,949 [1].
Marejeo[hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Simiyu bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Kata za Wilaya ya Meatu - Mkoa wa Shinyanga - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Bukundi | Imalaseko | Itinje | Kimali | Kisesa | Lingeka | Lubiga | Mwabuma | Mwabusalu | Mwabuzo | Mwamalole | Mwamanongu | Mwamishali | Mwandoya | Mwanhuzi | Mwanjoro | Ng'hoboko | Nkoma | Sakasaka |
||