Wilaya ya Kilolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa wilaya ya Kilolo (nyekundu) katika mkoa wa Iringa.
Wilaya ya Kilolo

Wilaya ya Kilolo ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Iringa, Tanzania, yenye Postikodi namba 51300.

Wilaya hii imepakana na mkoa wa Morogoro upande wa kaskazini na mashariki, wilaya ya Iringa Vijijini upande wa magharibi na wilaya ya Mufindi upande wa kusini.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 218,130[1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 263,559 [2].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kilolo - Tanzania

Boma la Ng'ombe | Dabaga | Ibumu | Idete | Ihimbo | Ilula | Image | Irole | Kimala | Kising'a | Lugalo | Mahenge | Masisiwe | Mlafu | Mtitu | Ng'ang'ange | Ng'uruhe | Nyalumbu | Nyanzwa | Ruaha Mbuyuni | Udekwa | Uhambingeto | Ukumbi | Ukwega


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kilolo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.