Wilaya ya Kisarawe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Kisarawe (kijani) katika mkoa wa Pwani.

Wilaya ya Kisarawe ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Pwani yenye postikodi namba 61400.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 95,614 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 159,226 [2].

Makao makuu ya wilaya yapo kwenye mji wa Kisarawe.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kisarawe - Mkoa wa Pwani - Tanzania

Boga | Chole | Kazimzumbwi | Kibuta | Kiluvya | Kisarawe | Kurui | Mafizi | Maneromango | Marui | Marumbo | Masaki | Msanga | Msimbu | Mzenga | Vihingo | Vikumburu


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Kisarawe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.