Maneromango

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maneromango ni kata ya Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61412.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 5,203 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,896 [2] walioishi humo.

Maneromango ilikuwa kati ya vituo vya kwanza vya misheni ya Kilutheri kutoka Ujerumani kwa kuwa kituo kilianzishwa mwaka 1895.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz/
  2. Sensa ya 2012, Pwani - Kisarawe DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2016-06-10.
  3. Isaria N. Kimambo, The Impact of’ Christianity among the Zaramo, A Case Study of Maneromango Lutheran Parish, uk. 63, East African Expressions of Christianity, 1999, ISBN: 9780852557570
Kata za Wilaya ya Kisarawe - Mkoa wa Pwani - Tanzania

Boga | Chole | Kazimzumbwi | Kibuta | Kiluvya | Kisarawe | Kurui | Mafizi | Maneromango | Marui | Marumbo | Masaki | Msanga | Msimbu | Mzenga | Vihingo | Vikumburu


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Maneromango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.