Wilaya ya Nkasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Nkasi katika mkoa wa Rukwa.

Wilaya ya Nkasi ni wilaya mojawapo kati ya 4 za Mkoa wa Rukwa yenye postikodi namba 55300.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 208,497 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 425,420 [2].

Wilaya hiyo ilitajwa kwa jina la "Nkansi" katika taarifa ya sensa 2002.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Nkasi - Mkoa wa Rukwa - Tanzania

Chala | Isale | Isunta | Itete | Kabwe | Kala | Kate | Kipande | Kipili | Kipundu | Kirando | Kizumbi | Korongwe | Majengo | Mashete | Mkinga | Mkwamba | Mtenga | Myula | Namanyere | Ninde | Nkandasi | Nkomolo | Ntatumbila | Ntuchi | Paramawe | Sintali | Wampembe

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Rukwa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Nkasi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.