Mbarali
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Mbarali)
Mahali pa Mbarali (kijani) katika mkoa wa Mbeya.
Wilaya ya Mbarali ni wilaya moja ya Mkoa wa Mbeya. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 234,908 [1].
Utawala [hariri]
Katika wilaya hii kuna kata zifuatazo:
- Chimala
- Igurusi
- Madibira
- Mahongole (Mbarali)
- Mapogoro
- Mawindi
- Msangaji
- Ruiwa
- Rujewa
- Ubaruku
- Utengule Usangu
| Kata za Wilaya ya Mbarali – Mkoa wa Mbeya - Tanzania | ||
|---|---|---|
|
Chimala | Igurusi | Madibira | Mahongole (Mbarali) | Mapogoro | Mawindi | Msangaji | Ruiwa | Rujewa | Ubaruku | Utengule Usangu |
||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mbarali kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |