Wilaya ya Chamwino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa maana nyingine ya jina hilo angalia Chamwino (maana)

Chamwino ni jina la wilaya mpya katika mkoa wa Dodoma Tanzania, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2007.

Ina postikodi namba 41400[1].

Idadi ya wakazi wa wilaya hii ilikuwa watu wapatao 19,175 wakati wa sensa ya mwaka 2012. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 486,176 [2].

Makao makuu ya wilaya yako Chamwino mjini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2017-10-08.
  2. https://www.nbs.go.tz

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Chamwino - Mkoa wa Dodoma - Tanzania

Buigiri | Chamwino mjini | Chiboli | Chilonwa | Chinugulu | Dabalo | Fufu | Handali | Haneti | Huzi | Idifu | Igandu | Ikombolinga | Ikowa | Iringa Mvumi | Itiso | Loje | Majeleko | Makang'wa | Manchali | Manda | Manzase | Membe | Mlowa Barabarani | Mlowa Bwawani | Mpwayungu | Msamalo | Msanga | Muungano | Mvumi Makulu | Mvumi Misheni | Nghahelezi | Nghambaku | Nhinhi | Segala | Zajilwa


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Chamwino kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.