Wilaya ya Uyui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Uyui (kijani cheusi) katika mkoa wa Tabora.

Wilaya ya Uyui ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 45200.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, wilaya hii ilikuwa na wakazi wapatao 396,623 waishio humo.[1] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 562,588[2].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Uyui - Mkoa wa Tabora - Tanzania

Bukumbi | Goweko | Ibelamilundi | Ibiri | Igalula | Igulungu | Ikongolo | Ilolangulu | Isikizya | Isila | Kalola | Kigwa | Kizengi | Loya | Lutende | Mabama | Magiri | Makazi | Miswaki | Miyenze | Mmale | Ndono | Nsimbo | Nsololo | Nzubuka | Shitage | Tura | Ufuluma | Upuge | Usagari


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tabora bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Uyui kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.