Wilaya ya Rombo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Rombo (kijani) katika mkoa wa Kilimanjaro.
Hoteli katikati ya mji wa Rombo mwaka 2006.

Wilaya ya Rombo ni miongoni mwa wilaya saba za mkoa wa Kilimanjaro upande wa mashariki wa mlima.

Makao makuu ya wilaya hiyo yanapatikana katika mji mdogo wa Mkuu, kata ya Kelamfua Mokala. Wenyeji ni hasa Warombo.

Wilaya imepakana na Kenya upande wa kaskazini na mashariki, wilaya ya Hai upande wa magharibi na wilaya ya Moshi vijijini upande wa Kusini.

Idadi ya wakazi ilikuwa 260,963 wakati wa sensa ya mwaka 2012. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 275,314 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Ramani Wilaya au manisipaa Wakazi (2022) Tarafa Kata Kijiji Eneo km²
Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
Wilaya ya Hai 240,999 17 1,217
Wilaya ya Moshi Vijijini 535,803 32 1,300
Wilaya ya Moshi Mjini 331,733 21 63
Wilaya ya Mwanga 148,763 20 1,831
Wilaya ya Rombo 275,314 28 1,471
Wilaya ya Same 300,303 34 6,221
Wilaya ya Siha 139,019 17 1,217
Jumla 1,861,934 152 13,209
Wilaya ya Siha hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Hai.
Marejeo: Mkoa wa Kilimanjaro
Kata za Wilaya ya Rombo - Mkoa wa Kilimanjaro - Tanzania

Aleni | Chala | Holili | Katangara/Mrere | Kelamfua/Mokala | Kingachi | Kirongo Samanga | Kirwa Keni | Kisale Msaranga | Kitirima | Mahida | Makiidi | Mamsera | Manda | Marangu Kitowo | Mengeni | Mengwe | Motamburu Kitendeni | Mrao Keryo | Nanjara | Ngoyoni | Olele | Reha | Shimbi | Shimbi Kwandele | Tarakea Motamburu | Ubetu Kahe | Ushiri Ikuini

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kilimanjaro bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Rombo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Isipokuwa usitaje majina ya viongozi waliopo sasa maana wanabadilika haraka mno.