Wilaya ya Muheza
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
ramani ya mahali pa wilaya ya Muheza katika mkoa wa Tanga
Wilaya ya Muheza ni kati ya wilaya saba ya Mkoa wa Tanga katika Tanzania. Mwaka 2002 ilikuwa na wakazi 279,423 [1].
Marejeo na Viungo vya Nje[hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Muheza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Kata za Wilaya ya Muheza - Mkoa wa Tanga - Tanzania Kata zifuatazo bado ni pamoja na zile za wilaya mpya ya Mkinga. Ukijua ni kata zipi zilizopelekwa Mkinga saidia kuhariri kigezo hiki kwa kubonyeza hapa |
||
|---|---|---|
|
Bwembwera • Duga • Daluni • Gombero • Kicheba • Kigombe • Kigongoi • Kilulu • Kisiwani • Kwafungo • Kwale • Lusanga • Manza • Mbaramo • Misalai • Maramba • Mkinga • Magila • Magoroto • Mkuzi • Mtindiro • Mtimbwani • Moa • Masuguru • Majengo • Misozwe • Mhinduro • Mwakijembe • Ngomeni • Nkumba • Pande • Potwe • Songa • Tingeni • Zirai Rural |
||