Wilaya ya Maswa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Maswa (kijani) katika mkoa wa Shinyanga kabla ya mkoa huo kumegwa mnamo Machi 2012.

Wilaya ya Maswa ni wilaya mojawapo kati ya 6 za Mkoa wa Simiyu.

Eneo la wilaya ni kilomita za mraba 3,398 na kati yake km2 2,375 zinafaa kwa kilimo, nyingine ni misitu na milima.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 344,125. [1] Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 427,864 [2].

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza kwa 393...

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Maswa - Mkoa wa Simiyu - Tanzania

Badi | Binza | Buchambi | Bugarama | Budekwa | Busangi | Busilili | Dakama | Ipililo | Isanga | Jija | Kadoto | Kulimi | Lalago | Malampaka | Masela | Mataba | Mbaragane | Mpindo | Mwabaratulu | Mwabayanda | Mwamanenge | Mwamashimba | Mwang'honoli | Nguliguli | Ng'wigwa | Nyabubinza | Nyalikungu | Sangamwalugesha | Senani | Seng'wa | Shanwa | Shishiyu | Sola | Sukuma | Zanzui


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Simiyu bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.