Wilaya ya Chato
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Chato ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Geita. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 251,261 [1] na imekadiriwa kuwa na 318,000 kwa mwaka 2007.
Wilaya hii ilianzishwa mwaka 2007 kutokana na maeneo ya wilaya ya Biharamulo, mkoa wa Kagera, halafu mwaka 2012 ikasogezwa katika mkoa mpya wa Geita.
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Geita bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Kata za Wilaya ya Chato - Mkoa wa Kagera - Tanzania |
||
|---|---|---|
|
Wilaya hii ilitengwa mwaka 2007 na maeneo ya Wilaya ya Biharamulo. |
||