Kazakhstan
|
|||||
| Kaulimbiu ya taifa: | |||||
| Wimbo wa taifa: Kazakhstan yangu | |||||
| Mji mkuu | Astana |
||||
| Mji mkubwa nchini | Almaty | ||||
| Lugha rasmi | Kikazakh, Kirusi | ||||
| Serikali | Jamhuri Nursultan Nazarbayev Karim Massimov |
||||
| Uhuru Ilitangazwa ilikamilika |
16 Desemba 1991 25 Desemba 1991 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,724,900 km² (ya 9) 1.7 |
||||
| Idadi ya watu - July 2014 kadirio - 1999 sensa - Msongamano wa watu |
17,948,816[1] (ya 62) 14,953,100 5.94/km² (ya 227) |
||||
| Fedha | Tenge ya Kazakhstan (KZT) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+5 to +6) (UTC) |
||||
| Intaneti TLD | .kz | ||||
| Kodi ya simu | +7
- |
||||
Kazakhstan (pia: Kazakistan) ni nchi katika Asia ya Kati. Imepakana na Urusi, China, Kyrgyzstan, Uzbekistan na Turkmenistan.
Mji mkuu ni Astana; Almaty ilishika nafasi hiyo hadi 1996.
Hadi mwaka 1991 ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyet, ikijulikana kwa jina la "Jamhuri ya Kisovyeti ya Kikazakhi".
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Kazakhstan ina eneo la km² 2,717,300; ni nchi kubwa ya tisa duniani.
Upande wa magharibi inaanza katika tambarare za mto Volga pamoja na Bahari ya Kaspi na kuelekea hadi milima ya Altai upande wa China. Kusini iko milima ya Tienshan yenye kimo cha mita 7,000 na ziwa Aral. Upande wa kaskazini hakuna mpaka asilia na Siberia.
Wakazi[hariri | hariri chanzo]
Wakazi wengi (63.6%) ni Wakazaki wanaozungumza lugha ya jamii ya Kituruki, wakifuatwa na Warusi wanaozungumza lugha yao ya jamii ya Kislavoni (23.3%). Ya kwanza ndiyo lugha ya taifa, ya pili ni pia lugha rasmi.
Upande wa dini, 69.69% ni Waislamu na 26% Wakristo (hasa Waorthodoksi). Baada ya uhuru, dini zote zimepata uhai mpya na kujenga maabadi mengi. Serikali haina dini, lakini inaziheshimu zote.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kiingereza) Tovuti rasmi
| Nchi na maeneo ya Asia |
|
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
| 1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kazakhstan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kazakhstan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |