Saudia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
المملكة العربية السعودية
Al-Mamlaka al-'Arabiyya as-Sa'ūdiyya

Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
Bendera ya Saudi Arabia Nembo ya Saudi Arabia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: لا إله إلا الله محمد رسول الله(Kiarabu)
Lā ilāhā illā-llāhu; muhammadun rasūlu-llāhi
"Hakuna mungu ila Allah; Muhammad ni mtume wa Allah"
Wimbo wa taifa: ash al malik ("Asifiwe mfalme")
Lokeshen ya Saudi Arabia
Mji mkuu Riyadh
24°39′ N 46°46′ E
Mji mkubwa nchini Riyad
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme
Abdullah bin Abdulaziz wa Saudia
Sultan bin Abdul Aziz wa Saudia
Kuanzishwa
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Iliunganishwa



8 Januari 1926
20 Mei 1927
23 Septemba 1932
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,149,690 km² (ya 14)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - 2006 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
27,019,7311 (ya 46 2)
11/km² (ya 205)
Fedha Riyal (SAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
+3 (UTC)
Intaneti TLD .sa
Kodi ya simu +966

-

1 Kadirio la jumla ya wakazi pamoja na watu 5,576,076 wasio wazalendo


Ufalme wa Uarabuni wa Saudia (المملكة العربية السعودية, al-mamlaka al-'arabiyya as-sa'audiyya ) ni nchi kubwa kati ya nchi za Bara Arabu. Imepakana na Yordani, Iraq, Kuwait, Qatar, Bahrain, Falme za Kiarabu, Oman na Yemen. Kuna pwani la Ghuba la Uajemi upande wa kaskazini-mashariki na Bahari ya Shamu upande wa magharibi.

Mara nyingi inaitwa "al-haramain" yaani nchi ya mahali patakatifu pawili kwa kumaanisha miji ya Makka na Madina ambayo ni miji mitakatifu zaidi katika Uislamu. Ukweli huu unatumika kuzuia waumini wa dini nyingine zote, ambao ni wahamiaji, wasiweze kujenga maabadi wala kufanya ibada za pamoja, hata kama ni ndani ya nyumba zao.

Jina la nchi limetoka kwa familia ya watawala, yaani familia ya Saud aliyeianzisha.

Sa-map.png

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China.


BlankAsia.png Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saudia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.