Luxemburg
Luxemburg Groussherzogtum Lëtzebuerg (lb) Grand-Duché de Luxembourg (fr) Großherzogtum Luxemburg (de) | |
---|---|
Kaulimbiu: "Mir wëlle bleiwe wat mir sinn" (Kiluxemburg kwa "Tunataka kubaki jinsi tulivyo") | |
Wimbo wa taifa: "Ons Heemecht" | |
Mji mkuu na mkubwa | Luxemburg |
Lugha rasmi | Kifaransa, Kijerumani, Kiluxemburg |
Kabila (2022) | |
Dini (20218) | 73.2% Ukristo 23.1% Wasio na dini |
Serikali | Ukuu wa kikatiba |
• Mkuu wa Ukuu | Henri wa Luxemburg |
• Waziri Mkuu | Luc Frieden |
Uhuru kutoka Uholanzi | |
• Kutoka Himaya ya Ufaransa na kupandishwa hadhi kuwa Utemi Mkuu wa Luxembourg | 9 Juni 1815 |
• Uhuru kutoka Uholanzi | 19 Aprili 1839 |
• Katiba ya kwanza | 17 Oktoba 1868 |
• Katiba ya sasa | 1 Julai 2023 |
Eneo | |
• Jumla | km2 2,586.4 (ya ya 167) |
• Maji (asilimia) | 0.6% |
Idadi ya watu | |
• Kadirio la 2023 | 672,050 [1] |
• Msongamano | 255/km2 |
PLT (PPP) | Kadirio la 2024 |
• Jumla | ![]() |
• Kwa kila mtu | ![]() |
PLT (kawaida) | Kadirio la 2024 |
• Jumla | ![]() |
• Kwa kila mtu | ![]() |
HDI (2022) | ![]() juu sana |
Sarafu | Euro (€) EUR |
Majira ya saa | UTC+1 CET |
Upande wa magari | Kulia |
Msimbo wa simu | +352 |
Jina la kikoa | .lu |

Luxemburg (pia lusembagi ),rasmi kama Utemi Mkuu wa Luxemburg, ni nchi ndogo katika Ulaya ya Magharibi, inayopakana na Ubelgiji kaskazini na magharibi, Ufaransa kusini, na Ujerumani mashariki. Ina idadi ya watu takriban 672,050[1], ikiwa ya 167 duniani. Jiji lake kubwa zaidi ni Luxemburg, ambalo pia ni mji mkuu. Luxemburg imegawanyika katika majimbo 3—Diekirch, Grevenmacher, na Luxemburg. Inajulikana kwa kuwa moja ya nchi tajiri zaidi duniani,
Historia
[hariri | hariri chanzo]Luxemburg kama nchi ndogo ilikuwa mara nyingi chini ya athira ya majirani wakubwa waliotawala juu yake kwa vipindi mbalimbali.
Kwa vipindi vingi vya historia yake Luxemburg ilikuwa sehemu ya Ujerumani.
Katika karne ya 14 watemi wa Luxemburg walichaguliwa kuwa wafalme wa Ujerumani.
Baada ya vita za Napoleoni, Ufaransa na Prussia zilivutana juu ya Luxemburg. Walipatana kwenye Mkutano wa Vienna (1815) ya kurudisha Luxemburg kama nchi ya pekee itakayotawaliwa na Mtemi Mkubwa. Mfalme wa Uholanzi alikuwa mtemi wa Luxemburg na nchi yenyewe iliungwa katika Shirikisho la Ujerumani.
Baada ya mwisho wa Shirikisho la Ujerumani (1866) Luxemburg haikujiunga (1870) na Dola jipya la Ujerumani.
Badiliko la familia ya kifalme katika Uholanzi lilisababisha uchaguzi wa mtemi wa pekee (1890).
Demografia
[hariri | hariri chanzo]Ina wakazi 613,894 (Januari 2019) katika eneo la km² 2,586 pekee.
Kabila
[hariri | hariri chanzo]Kati yao 49.1% ni wahamiaji kutoka Ureno (18.2% za wakazi wote), Ufaransa (13.5%), Ujerumani (10.3%), Italia (3.4%), Ubelgiji (3.3%), na nchi nyingine.
Lugha
[hariri | hariri chanzo]Lugha ya taifa ni Kiluxemburg ambayo ni lahaja ya Kijerumani yenye athira nyingi za Kifaransa. Karibu wakazi wote huweza kuongea lugha hizo zote tatu na Kiingereza, lakini zaidi Kifaransa.
Dini
[hariri | hariri chanzo]Upande wa dini, 68.7% wanajitambulisha kama Wakatoliki na 3.7% wanajitambulisha kama Wakristo wa madhehebu mengine. Waislamu ni 2.3%. Wasio na dini ni 26.8%.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Kreins, Jean-Marie (2003). Histoire du Luxembourg (kwa French) (tol. la 3rd). Paris: Presses Universitaires de France. ISBN 978-2-13-053852-3.
{{cite book}}
: CS1 maint: unrecognized language (link) - Thewes, Guy (Julai 2003). Les gouvernements du Grand-Duché de Luxembourg depuis 1848 (PDF) (kwa French) (tol. la Édition limitée). Luxembourg City: Service Information et Presse. ISBN 2-87999-118-8. Iliwekwa mnamo 10 Julai 2007.
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: unrecognized language (link)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Official website (Kifaransa)
- Luxembourg Ilihifadhiwa 29 Agosti 2012 kwenye Wayback Machine. from UCB Libraries GovPubs
- Luxembourg entry at The World Factbook
- Luxemburg katika Open Directory Project
- Luxembourg profile from the BBC News
- Luxembourg's Constitution of 1868 with Amendments through 2009, English Translation 2012
- Plan d'action national luxembourgeois en matière de TIC et de haut-débit Ilihifadhiwa 25 Septemba 2013 kwenye Wayback Machine.
- CEE- Europe’s Digital Competitiveness Report –Volume 2: i2010 –ICT Country Profiles- page 40-41 Ilihifadhiwa 25 Septemba 2013 kwenye Wayback Machine.
- Inauguration of LU-CIX Ilihifadhiwa 21 Februari 2011 kwenye Wayback Machine.
- Art and Culture in Luxembourg
- Wikimedia Atlas of Luxembourg
Nchi za Umoja wa Ulaya | ![]() |
---|---|
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Luxemburg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |