Estonia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jamhuri ya Estonia
Eesti Vabariik
Bendera ya Estonia Nembo ya Estonia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Mu isamaa, mu õnn ja rõõm
Lokeshen ya Estonia
Mji mkuu Tallinn
59°26′ N 24°45′ E
Mji mkubwa nchini Tallinn
Lugha rasmi Kiestonia
Serikali demokrasia
Kersti Kaljulaid
Kaja Kallas
Uhuru
Ilitangazwa
ilikubaliwa
Ilitwaliwa na Urusi
Ilitangazwa tena
ilikamilika

24 Februari 1918
2 Februari 1920
16 Juni 1940
20 Agosti 1991
6 Septemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
45,100 km² (ya 13)
4.56%
Idadi ya watu
 - 2014 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
1,315,819 (ya 154)
29/km² (ya 173)
Fedha Euro (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .ee1
Kodi ya simu +372

-



Ramani ya Estonia

Estonia (kwa Kiestonia: Eesti au Eesti Vabariik) ni nchi ya Kibalti katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Latvia na Urusi.

Finland iko ng'ambo ya Kidaka cha Ufini cha Bahari ya Baltiki na watu wake wana asili moja na Waestonia.

Mji mkuu ni Tallinn unaojulikana pia kwa jina la Reval.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Kwa muda mrefu Estonia ilikuwa chini ya Wajerumani, Wadani na Waswidi, halafu sehemu ya Dola la Urusi.

Katika miaka 1918-1940 ilikuwa jamhuri halafu miaka 1940-1991 mwanachama wa Umoja wa Kisovyeti.

Baada ya umoja huo wa majimbo 15 kusambaratika, Estonia ilijitangaza nchi huru.

Estonia imekuwa nchi mwanachama ya Umoja wa Ulaya tangu tarehe 1 Mei 2004.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Lugha rasmi ni Kiestonia ambacho ni lugha mama ya 69.1% ya wakazi na karibu sana na Kifini. Karibu robo husema Kirusi.

Upande wa dini, kadiri ya sensa ya mwaka 2011, 54.14% hawana yoyote. Wakristo Waorthodoksi ni 16.5%, Walutheri ni 9.91%, mbali ya madhehebu mengine yasiyofikia pekepeke 1%.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Nchi za Umoja wa Ulaya Bendera ya Umoja wa Ulaya
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Estonia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.