Jersey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Visiwa vya Mfereji wa Kiingereza
Jersey

Jersey ni kisiwa kikubwa kati ya Visiwa vya mfereji wa Kiingereza chenye wakazi 103,000 (2021). Kipo karibu na pwani ya Ufaransa lakini ni eneo chini ya taji la Uingereza isipokuwa si sehemu ya Uingereza wenyewe.

Mji pekee ni Saint Helier.

Lugha zinazotumiwa ni hasa Kiingereza, Kifaransa na pia Kijersey (Jèrriais) lakini lugha hii ya kienyeji imebaki na wasemaji wachache (2,600).

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jersey kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.