Asia ya Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Asia ya Magharibi (buluu nyeusi); Mashariki ya kati: pamoja na buluu nyeupe

Asia ya Magharibi (inalingana kwa kiasi kikubwa na jina la Mashariki ya Kati) ni sehemu ya magharibi-kusini ya bara la Asia. Inatajwa kati ya kanda za dunia ya UM.

Nchi[hariri | hariri chanzo]

Nchi zinazotajwa humo ni kama zifuatazo: