Malaysia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Malaysia
مليسيا
Bendera ya Malaysia Nembo ya Malaysia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Bersekutu Bertambah Mutu
("Umoja ni nguvu")
Wimbo wa taifa: "Negaraku"
Lokeshen ya Malaysia
Mji mkuu Kuala Lumpur1
3°08′ N 101°42′ E
Mji mkubwa nchini Kuala Lumpur
Lugha rasmi Kimalay
Serikali
Yang di-Pertuan Agong (Mtawala Mkuu)
Waziri Mkuu
Shirikisho, Ufalme
Abdullah al-Haj
Ismail Sabri Yaakob
Uhuru
kutoka Uingereza (Shirikisho la Kimalay pekee)
Shirikisho (na Sabah, Sarawak na Singapore2)

31 Agosti 1957
16 Septemba 1963
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
330,803 km² (ya 67)
0.3
Idadi ya watu
 - 2019 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
32,772,100 (ya 42)
28,334,135
92/km² (ya 116)
Fedha Ringgit (RM) (MYR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MST (UTC+8)
-- (UTC+8)
Intaneti TLD .my
Kodi ya simu +60
1 Putrajaya ni makao makuu ya serikali
2 Singapore ilikuwa nchi ya pekee tar. 9 Agosti 1965.


Ramani ya Malaysia.

Malaysia ni nchi ya Asia ya kusini-mashariki kando ya Bahari ya Kusini ya China.

Ina sehemu mbili ambazo ni:

Upande wa rasi Malaysia imepakana na Uthai na Singapore. Sehemu ya Borneo imepakana na Brunei na Indonesia.

Kisiasa Malaysia ni shirikisho la majimbo 13 na maeneo ya shirikisho 3.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Nchi ilianzishwa mwaka 1963 wakati Shirikisho la Kimalay (kwa Kimalay: Persekutuan Tanah Melayu) liliungana na Singapur, Sabah na Sarawak ambazo awali zilikuwa chini ya Uingereza.

Hata hivyo Singapur iliondoka mwaka 1965 ikawa nchi ya pekee.

Majimbo ya Shirikisho[hariri | hariri chanzo]

Malaysia ni Shirikisho la Kifalme. Tisa kati ya majimbo yake 13 ni sultani chini ya utaratibu wa kifalme na manne hufuata muundo wa jamhuri.

Majimbo ya shirikisho ni kama yafuatavyoː

Sultani tisa zinazoongozwa na Sultani pamoja na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Majimbo manne chini ya gavana anayeteuliwa na serikali kuu na waziri mkuu anayechaguliwa na bunge la jimbo:

Maeneo matatu ya shirikisho:

Watu[hariri | hariri chanzo]

Wakazi ni mchanganyiko mkubwa, lakini Wamalay (50.1%) na wakazi asili wengine walio Waislamu wanapewa na katiba ya nchi nafasi ya pekee. Wachina ni 22.6%. Wahindi ni 7.3%

Lugha rasmi ni Kimalay, lakini zinatumika pia lugha nyingine 136.

Dini rasmi ni Uislamu unaofuatwa na 61.3% za wakazi (wengi wakiwa Wasuni), wakati 19.8% ni Wabuddha, 9.2% ni Wakristo, 6.3% ni Wahindu, 1.3% ni wafuasi wa dini za Kichina (Ukonfusio na Utao).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malaysia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.