Historia ya Malaysia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Historia ya Malaysia inahusu eneo ambalo leo linaunda shirikisho la Malaysia.

Nchi ilianzishwa mwaka 1963 wakati Shirikisho la Kimalay (kwa Kimalay: Persekutuan Tanah Melayu) liliungana na Singapur, Sabah na Sarawak ambazo awali zilikuwa chini ya Uingereza.

Hata hivyo Singapur iliondoka mwaka 1965 ikawa nchi ya pekee.

Mahathir Mohamad, Waziri Mkuu aliyekaa muda mrefu zaidi wa Malaysia

Kipindi ambacho Mahathir Mohamad alikuwa madarakani (1981-2003) kilikuwa kipindi cha maendeleo ya haraka ya kiuchumi nchini Malaysia. Nchi iliendeleza majengo makubwa ikiwa ni pamoja na minara ya Petronas Twin Towers.

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Malaysia kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.