Historia ya Misri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hathor

Historia ya Misri inahusu eneo la Afrika Kaskazini ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Misri.

Nchi hiyo ni kati ya vitovu vya ustaarabu wa binadamu, na kwa sababu hiyo inavutia watalii wengi.

Historia ya Misri inaweza kugawiwa katika vipindi vifuatavyo:

  • Misri ya Kale
    • Historia ya awali ya Misri: vor 4000 KK
    • Kipindi kabla ya maungano ya Kusini na kaskazini: ca. 4000 kk – 3100 KK
    • Kipindi cha nasaba za kwanza: 3100 KK– 2700 KK (Nasaba 1 na 2)
    • Himaya ya Kale: 2686 KK –2181 BC (nasaba ya 3 – 6)
    • Kipindi cha kwanza cha mpito: ca. 2216–2137 KK (nasaba ya 7. bis 11)
    • Himaya ya Kati: ca. 2137–1781 KK (nasaba ya 11 - 12)
    • Kipindi cha pili cha mpito: ca. 1648–1550 KK (nasaba ya 13 – 17)
    • Himaya Mpya: ca. 1550–1070 KK (nasaba ya 18 – 20)
    • Kipindi cha tatu cha mpito: ca. 1070–664 KK (nasaba ya21-25)
    • Kipindi cha mwisho: ca. 664–332 KK (nasaba ya 26 – 31)


Tazama Pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Misri kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.