Nenda kwa yaliyomo

Historia ya Botswana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bendera ya nchi ya Botswana.

Historia ya Botswana inahusu eneo la Kusini mwa Afrika ambalo wakazi wake leo wanaunda Jamhuri ya Botswana.

Wakazi wa kwanza wa eneo hilo huaminiwa walikuwa wawindaji wa jamii ya Wasani.

Katika karne za kwanza BK walifika wahamiaji Wabantu waliokuwa na ujuzi wa kilimo na uhunzi.

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Historia ya Botswana kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.